NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

SHAMSA FORD asema sio Deal Kuwa na Mahusiano ya Kimapenzi na Mastaa wa Bongo

Msanii wa filamu nchini, Shamsa Ford hivi karibuni alifunguka kupitia mtandao wa Instagram kuwa mahusiano na mastaa wa Bongo hayadumu kwa miezi mitatu na amemuomba Mungu amuepushe mbali nayo.

Akiweka picha ya Beyonce na Jay Z, Shamsa alidai ni uhusiano wao tu ndiyo anaouelewa miongoni mwa mastaa.


Aliandika: Haya ndio mahusiano ninayoyakubali dunia nzima.unaweza kuona mapenzi ,mafanikio na kazi katika nyuso zao….lakini mahusiano ya mastar wetu wa hapa bongo yakidumu sana ni miezi 3..Mimi huwa naona mapenzi ya mastar wa bongo ni kutafuta kick tu but si mahusiano ya kweli. …Mungu niepushe mimi kuwa na mahusiano na star yoyote. Happy anniversary Mr and Mrs JAZZ. ..”
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment