NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Picha,Puff Daddy na Jay Z kwenye show ya Bad Boy Family Reunion.



Jay Z na mshkaji wake wa muda mrefu Sean ‘Puff Daddy’ Combs walionekana pamoja huku ikiwa ni sehemu ya Jay  kuonyesha mapenzi kwa kundi la Bad Boy Family kwenye tour yao ya kuja pamoja kama record lebel kubwa duniani.
Show hii ya kwanza imefanyika mjini Brooklyn nyumbani kwa Jay Z ambapo Combs alimuita  Jay Z ‘Kaka Yangu’ wakati anamtambulisha kwenye stage aje kufanya nae show.
‘Bad Boy’ wamesherehekea miaka 20 kwenye game la muziki duniani.
  1 2 3 3473E78C00000578-3602925-image-m-52_1463877750982 3473E51400000578-0-image-a-38_1463875076297 3473EA2800000578-3602925-image-a-53_1463877845436 3473EFCE00000578-3602925-image-m-51_1463877726793

Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment