Hiyo ni kwa mujibu wa Joh Makini mwenyewe alipokuwa akiongea na mtangazaji wa Jembe FM, JJ. Amedai kuwa anachosubiria sasa ni kuangalia namna ya kufanya video yake na kuitoa.
Pia ameshafanya collabo na muimbaji wa Nigeria Chidnima na video ilishafanyika, alimshirikisha rapper wa Afrika Kusini, Khulichana pamoja na wimbo mwingine aliofanya na rapper wa Ghana, EL.
0 comments:
Post a Comment