Luiz (29) anarejea Chelsea baada ya kuondoka klabuni hapo miaka miwili iliyopita baada ya kusajiliwa ba PSG kwa ada ya paundi mil 50.
Inaarifiwa kuwa tayari Luiz amefuzu vipimo vya afya na kusaini mkataba ambao hata hivyo bado haujawekwa wazi.
PSG bado hawajasajili mbadala wa Luiz kutokana kuwa tayari na mabeki watatu wanaoweza kucheza katikati ambao ni Thiago Silva, Marquinhos na Presnel Kimpembe, huku Serge Aurier ambaye anacheza beki ya kulia akiwa pia na uwezo wa kufanya hivyo pia.
0 comments:
Post a Comment